Thursday, December 12, 2019
Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) yazidi kung'ara katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya Hali ya Hewa (UNFCCC-COP25)
Dkt. Agnes Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) amekuwa katika jopo la wataalamu kujadili athari za mabadiliko ya hali ya hewa kwa jinsia tofauti.
Kwa upande mwingine, Mkurugenzi wa Utafiti na Matumizi-TMA na 'IPCC-focal point's Dr. Ladislaus Chang'a ameshiriki katika mjadala wa umuhimu wa mawasiliano (communication) ya mabadiliko ya hali ya hewa.
Maeneo yaliyoathirika zaidi na Mabadiliko ya Hali ya Hewa na ya kutolea mfano ni Asia, Afrika na Visiwa vya Bahari ya Pasifiki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Mbeya; Tarehe 07 Agosti, 2023; Waziri Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya ...
-
Morogoro 07/08/2023; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema huduma za hali ya hewa...
-
Geneva, Uswisi: Tarehe 22/11/2023 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kati...
No comments:
Post a Comment