Monday, August 20, 2018
UZINDUZI WA MFUMO WA TAIFA WA HUDUMA ZA HALI YA HEWA
Tarehe 21 Agosti, 2018 Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya
Waziri Mkuu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa mfumo wa
Taifa wa Huduma za Hali ya Hewa, utakaofanyika katika kituo cha mikutano
cha kimataifa cha Mwl. Julius Nyerere, Dar es salaam kuanzia saa
saba(7) mchana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Mbeya; Tarehe 07 Agosti, 2023; Waziri Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya ...
-
Morogoro 07/08/2023; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema huduma za hali ya hewa...
-
Geneva, Uswisi: Tarehe 22/11/2023 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kati...
ni mfumo gani huo?
ReplyDelete