![]() |
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka akipata maelezo kuhusiana na huduma mbalimbali zinazotolewa na TMA alipotembelea banda la Mamlaka kwenye viwanja vya Nyakabidi, Simiyu Tarehe 05 Agosti 2018. |
![]() |
Mtaalam wa hali ya hewa kutoka TMA akitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la TMA kwenye viwanja vya Nyakabidi, Simiyu |
![]() |
Mtaalam wa hali ya hewa kutoka TMA akitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la TMA kwenye viwanja vya Nyakabidi, Simiyu |
![]() |
Wananchi mbalimbali wakiendelea kufurika katika banda la TMA kwenye viwanja vya Nyakabidi, Simiyu |
No comments:
Post a Comment