Tuesday, February 11, 2020
TUKIO - TMA YAJIANDAA KUTOA TAARIFA YA UTABIRI WA MSIMU WA MVUA ZA MASIKA, TAREHE 13/02/2020
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatarajia kutoa taarifa ya muelekeo wa msimu wa mvua za Machi hadi Mei 2020 (Masika) kwa vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini, Siku ya Alhamisi ya Tarehe 13Februari 2020 katika ofisi za TMA - MAkao Makuu, Ubungo Plaza, Dar es Salaam.
Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia hapa ili kujua muda na yatakayojadiliwa zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Mbeya; Tarehe 07 Agosti, 2023; Waziri Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya ...
-
Morogoro 07/08/2023; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema huduma za hali ya hewa...
-
Geneva, Uswisi: Tarehe 22/11/2023 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kati...
No comments:
Post a Comment