Thursday, September 16, 2021

ZIARA YA MHE. NAIBU WAZIRI KATIKA OFISI ZA TMA -MWANZA


Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Mwita Waitara (MB) akipata maelezo kuhusiana na utoaji huduma Bora za hali ya hewa kwa usafiri wa anga katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza. Tarehe 16/09/2021.




 

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...