Wednesday, October 9, 2019

TMA YAJIPANGA KUTOA MWELEKEO WA MSIMU WA MVUA ZA MWAKA KWA MWEZI NOVEMBA 2019 HADI APRILI 2020 KWA KUWANOA WANAHABARI

Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt. Agnes Kijazi akifafanua jambo kwa wanahabari (hawapo pichani) katika warsha ya kujadili mwelekeo wa msimu wa mvua za mwaka kwa kipindi cha mwezi Novemba 2019 hadi Aprili 2020 katika ofisi za TMA, Makao Makuu, Ubungo Plaza Dar es Salaam, Tarehe 09 Oktoba 2019.
Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt. Agnes Kijazi katika picha ya pamoja na wanahabari walioshiriki warsha ya kujadili mwelekeo wa msimu wa mvua za mwaka kwa kipindi cha mwezi Novemba 2019 hadi Aprili 2020 katika ofisi za TMA, Makao Makuu, Ubungo Plaza Dar es Salaam,Tarehe 09 Oktoba 2019.
Wanahabari mbalimbali wakichangia mjadala katika warsha ya kujadili mwelekeo wa msimu wa mvua za mwaka kwa kipindi cha mwezi Novemba 2019 hadi Aprili 2020 katika ofisi za TMA, Makao Makuu, Ubungo Plaza Dar es Salaam,Tarehe 09 Oktoba 2019.
Mtaalamu wa hali ya hewa Bw. Abuubakar Lungo akifafanua jambo kwa kina kwa mwanahabari kutoka gazeti la habari leo Bi. Theopista Nsanzugwako katika warsha ya kujadili mwelekeo wa msimu wa mvua za mwaka kwa kipindi cha mwezi Novemba 2019 hadi Aprili 2020 katika ofisi za TMA, Makao Makuu, Ubungo Plaza Dar es Salaam,Tarehe 09 Oktoba 2019.
Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt. Agnes Kijazi akifunga rasmi warsha ya kujadili mwelekeo wa msimu wa mvua za mwaka kwa kipindi cha mwezi Novemba 2019 hadi Aprili 2020 katika ofisi za TMA, Makao Makuu, Ubungo Plaza Dar es Salaam,Tarehe 09 Oktoba 2019.
Utabiri wa msimu wa mvua za mwaka kwa mwezi Novemba 2019 hadi Aprili 2020 na athari zake utatolewa rasmi siku ya Alhamis,Tarehe 09 Oktoba 2019, Ofisi za TMA, Ubungo Plaza, Dar es Salaam

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...