Wednesday, October 23, 2019

TMA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA SAYANSI YA HALI YA HEWA MASHULENI

Mkurugenzi wa Utafiti na matumizi wa TMA, Dkt. Ladislaus Chang'a akitoa elimu ya sayansi ya hali ya hewa katika shule ya msingi ya Mount Evarest - Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Utafiti na matumizi wa TMA Dkt. Ladislaus Chang'a akitoa elimu ya sayansi ya hali ya hewa katika shule ya msingi ya Mother of Mercy - Dar es salaam.

Wanafunzi wakipokea zawadi mbalimbali mara baada ya kufanya vizuri katika mitihani ya majaribio waliyopatiwa. 
Wataalam kutoka TMA wakisimika kituo cha kupima mvua (Raingauge) katika shule hizo

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...