Wednesday, February 13, 2019
Sunday, February 10, 2019
WATAALAMU WA HALI YA HEWA KUHAKIKISHA USAHIHI WA UTABIRI WA MVUA ZA MASIKA UNAKUWA WA HALI YA JUU
| Matukio mbalimbali kwa picha wakati wataalam wa hali ya hewa wakichambua mifumo ya hali ya hewa katika maandarizi ya utabiri wa hali ya hewa kwa msimu wa masika (Machi hadi Mei 2019) |
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania
(TMA) Dkt. Agnes Kijazi amewata wataalam wa hali ya hewa kutumia utalaam
wao walionao kuhakikisha maandalizi ya utabiri wa hali ya hewa kwa
msimu wa mvua za masika (Machi hadi Mei2019) unaendelea kuwa sahihi
zaidi katika kiwango cha juu na wenye ubora utakaosaidia maendeleo ya
kiuchumi katika taifa letu. Dkt. Kijazi alizungumza hayo wakati wa
kufungua warsha ya wataalamu wa hali ya hewa katika kuandaa utabiri
huo.
Warsha hiyo itafuatiwa na warsha ya
wataalamu mabingwa wote wa hali ya hewa pamoja warsha ya wadau wa huduma
za hali ya hewa na warsha ya wanahabari kabla ya kutoa rasmi mwelekeo
wa msimu wa mvua za MASIKA 2019 tarehe 14 Februari 2019.
Wednesday, January 30, 2019
THE 17TH GFCS PROJECT DELIVERY TEAM (PDT) INVITED DEVELOPMENT PARTNERS, NGO’s AND SECTOR MINISTRIES TO BRAINSTORM ON IMPLEMENTATION OF NATIONAL FRAMEWORK FOR CLIMATE SERVICES.
The PDT members and other invited participants on
the group photo during a 17th PDT meeting which took place on 17th
January 2019 at Ubungo Plaza,
Dar es Salaam. |
On
17th January 2019, The Global Framework for Climate Services (GFCS),
Tanzania Project
Delivery Team (PDT) organized an extended PDT with
invitees from UN agencies, NGO’s and Sector Ministries with the aim of
obtaining needs and suggestions for effective implementation of the NFCS.
During the opening of the meeting, the acting
PDT Chair Mr. Juvenal Kisanga appreciated the participation of the invited
participants ‘I appreciate the participation of NGOs, Sector Ministries, and Development
partners as I believe they have crucia role in succesfuly implementation of the
NFCS, and their presence will assist in
gathering needs, ideas and suggestions for efective implementation of the NFCS’ said Mr.
Kisanga.
Invited participants were from President
Offices’-Regional,Administration and Local Government (PO-RALG), Ministry of Livestock and Fisheries
(MoLF), World Bank, TANESCO, Tanzania
Renewable Energy Association (TAREA) and Climate Action Network TZ (CANTZ) and
Centre for Community Initiatives TZ (CCItz) .
On
the other hand, PDT received progress reports on implementation of GFCS APA
phase II from Tanzania Red Cross Society (TRCS), Tanzania Meteorological Agency
(TMA), World Food Programme (WFP) and Ministry of Health, Community
Development, Gender, Elderly and Children (MoHCDGEC), and encourage other
project partners to speed up implementation of agreed activities. The PDT was also briefed
about the TADMAC meeting, which was held on 4th January 2019. Dr.
Agnes Kijazi, the Director General of Tanzania Meteorological Agency, and Ms.
Mecklina Merchades, the GFCS Desk Officer attended the meeting and presented a
progress report on the implementation of GFCS Phase II.
PDT is
responsible for monitoring progress on programme activities, planning and
implementing joint activities, which normally meets quarterly and consists of participants from Tanzania Prime Minister’s
Office (PMO), Vice President Office (VPO), Ministry of Health, Community
Development, Gender, Elderly and Children (MoHCDGEC), Ministry of Agriculture
(MoA), World Health Organization (WHO), World Food Program (WFP-TZ), Tanzania
RedCross Society (TRCS) and Tanzania Meteorological Agency (TMA).
Released by: Monica Mutoni,
Communication Officer, TMA
Wednesday, January 16, 2019
TMA YASHIRIKI VIKAO VYA KAMATI ZA BUNGE ZA MIUNDOMBINU.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Dar es Salaam, Tarehe 05/02/2026; Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa rasmi utabiri wa msimu wa mvua za Masika 202 6 kwa maeneo...
-
DODOMA; Tarehe 19 Agosti, 2024; Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imekutana na wadau kutoka sekta mbalimbali nchini ili kujipanga na...
-
Dar es Salaam, 22 /0 8 /202 4 ; Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa msimu wa mvua za VULI 202 4 kwa maeneo yanayopat...




