Tuesday, August 4, 2026

MAONESHO YA NANENANE YAWA CHANZO CHA ELIMU YA HALI YA HEWA KWA WADAU.

3 Agosti 2026, Dodoma.








Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inashiriki  katika maonesho ya NaneNane  2026 yanayofanyika  kuanzia tarehe 1 hadi 8 Agosti 2026,katika viwanja vya John Malecela, Nzunguni jijini Dodoma.


Maonesho hayo yanatoa fursa kwa wadau mbalimbali kupata elimu ya hali ya hewa, shughuli mbalimbali zinazotekelezwa na TMA,ikiwemo shughuli ya uthibiti na uratibu wa huduma za hali ya hewa nchini.


TMA inashiriki katika maonesho ya Kikanda Mbeya na Morogoro. 


Kaulimbiu ya mwaka huu ni ‘‘Tambua soko, Ongeza tija, Tekeleza Diira 2050

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...