Wednesday, August 23, 2023

WANAHABARI WASISITIZWA KUSAMBAZA TAARIFA ZA HALI YA HEWA KWA WAKATI NA USAHIHI.

Mgeni rasmi ambaye pia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TMA na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi, Dkt. Ladislaus Chang'a akiwa katika picha ya pamoja na washiriki  wa warsha ya wanahabari kuhusu Msimu wa Mvua za Vuli (Oktoba hadi Disemba), uliofanyika katika Ukumbi wa TARI, Kibaha - Pwani, Tarehe 23 Agosti, 2023.


Mgeni rasmi ambaye pia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TMA na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi, Dkt. Ladislaus Chang'a akizungumza na wanahabari alipokuwa akifungua warsha ya wanahabari kuhusu Msimu wa Mvua za Vuli (Oktoba hadi Disemba 2023), uliofanyika katika Ukumbi wa TARI, Kibaha - Pwani, Tarehe 23 Agosti, 2023

Kaimu Meneja Masoko na Uhusiano -TMA, Bi. Monica Mutoni akiwasilisha Mada katika warsha ya wanahabari kuhusu Msimu wa Mvua za Vuli (Oktoba hadi Disemba 2023), uliofanyika katika Ukumbi wa TARI, Kibaha - Pwani, Tarehe 23 Agosti, 2023.




Matukio mbalimbali kwa picha wakati washiriki kutoka vyombo mbalimbali vya habari  wakifuatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa kupitia warsha ya wanahabari kuhusu Msimu wa Mvua za Vuli (Oktoba hadi Disemba 2023), uliofanyika katika Ukumbi wa TARI, Kibaha - Pwani, Tarehe 23 Agosti, 2023



No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...