Tuesday, August 21, 2018

Katibu Mkuu wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Prof. Petteri Taalas awasili nchini kwa ziara ya kikazi

Katibu Mkuu Shirika la Hali ya Hewa Duniani Prof. Petteri Taalas awasili nchini kwa ziara ya kikazi. Pichani akipokelewa na mwenyeji wake Mkurugenzi Mkuu wa TMA dkt. Agnes Kijazi na Mkurugenzi Mkuu wa TCAA bw. Hamza Johari.

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...