Monday, August 6, 2018

TMA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KATIKA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI KWA MAENDELEO YA VIWANDA KUPITIA MAONESHO YA NANENANE 2018 NCHINI

Mtaalam kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Dkt. Habiba Mtongori akitoa elimu ya sayansi ya hali ya hewa kupitia satelaiti kwenye maonesho ya Nane Nane 2018 mkoani Morogoro
Mtaalam kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Bw. Noah Kiende akitoa elimu ya matumizi ya kifaa cha kupima nguvu ya jua kwenye maonesho ya Nane Nane 2018 mkoani Morogoro
Baadhi ya washiriki katika picha ya pamoja kwenye maonesho ya Nane Nane 2018 mkoani Morogoro
Baadhi ya wananchi katika picha  wakiendelea kufurika katika banda la Mamlaka ya Hali ya Hewa  kwenye maonesho ya Nane Nane 2018 mkoani Simiyu
Baadhi ya wananchi katika picha  wakipata elimu ya upimaji kasi na mwelekeo wa upepo  kwenye maonesho ya Nane Nane 2018 mkoani Mbeya

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...