Mkurugenzi Mkuu wa TMA Dkt. Agnes Kijazi akifanya ukaguzi wa maendeleo ya ofisi ya huduma za hali ya hewa Ziwa Victoria iliyopo katika Bandari ya Mwanza
Mkurugenzi Mkuu wa TMA akipata maelezo mafupi kuhusiana na maendeleo ya ukamilishaji wa ofisi ya huduma za hali ya hewa Ziwa Victoria iliyopo katika Bandari ya Mwanza kutoka kwa meneja wa Kanda hiyo Bwana Michael Likunama (mwenye fulana nyeusi), pembeni ni Mkurugenzi wa Huduma za Utabiri Dkt. Hamza Kablewa
Mkurugenzi Mkuu wa TMA sambamba na baadhi ya wajumbe katika msafara huo. Wajumbe walioambatana nae ni pamoja na mameneja wa Kanda ya Ziwa, Mwanza, Musoma na Bukoba.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Mbeya; Tarehe 07 Agosti, 2023; Waziri Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya ...
-
Morogoro 07/08/2023; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema huduma za hali ya hewa...
-
Geneva, Uswisi: Tarehe 22/11/2023 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kati...
Ziara ya kanda ya ziwa,
ReplyDelete