Friday, December 11, 2020

SALAMU ZA PONGEZI

Bodi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), tunakupongeza Mhe.Dkt. Leonard Chamuriho kwa kuteuliwa na kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.

 

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...