Cheti kilichotolewa na Chama cha Kilimo (TASO) kudhihirisha ushindi wa TMA katika maonesho hayo. TMA ilipata nafasi ya kwanza kwa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na nafasi ya tatu kwa Kanda ya Kati.
Washiriki wa Wizara ya Uchukuzi, TMA pamoja na Taasis zilizo chini ya Wizara ya Uchukuzi wakisherekea ushindi wa nafasi ya tatu katika viwanja vya Nzuguni, Dodoma.
Mkurugenzi wa Huduma Saidizi Bw. Laurent Shauri akirusha puto (ballon) kama ishara ya ushindi kwenye viwanja vya Mwakangale, Mkoani Mbeya. Bw. Shauri alimwakilisha Mkurugenzi Mkuu katika ushiriki wa maonesho ya NaneNane Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Mbeya; Tarehe 07 Agosti, 2023; Waziri Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya ...
-
Morogoro 07/08/2023; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema huduma za hali ya hewa...
-
Geneva, Uswisi: Tarehe 22/11/2023 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kati...
No comments:
Post a Comment