Wednesday, March 27, 2019

MATUKIO MBALI MBALI KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA HEWA DUNIA (WMD) 2019

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi  na Mawasiliano akizungumza na vyombo vya habari kuhusu WMD 2019
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Mhandisi Japhet Loisimaye akifafanua namna taasis yake inavyozingatia matumizi sahihi ya huduma  za hali ya hewa
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa TAA Bw. Elius Mwashiuya alifafanua jinsi huduma za hali ya hewa zinavyosaidia katika ujenzi na uendeshaji wa viwanja vya ndege nchini
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Bw. Hamza Johari akielezea umuhimu wa huduma za hali ya hewa kwenye sekta usafiri wa anga
Baadhi ya washiriki wakifuatilia jambo wakati wa maadhimisho hayo
Mkurugenzi Mkuu wa TMA akimkaribisha mhe. waziri kuzungumza
Wafanyakazi wa TMA wakishiriki igizo fupi la kuonesha umuhimu wa huduma za hili ya hewa katika shughuli za uchumi na kijamii kwa ujumla

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...