Thursday, December 7, 2023

USHIRIKI WA TMA KATIKA MKUTANO WA 16 WA JTSR







Mwakalishi wa Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Muundombinu ya Hali ya Hewa, Dkt. Pascal Waniha akiwasilisha taarifa ya sekta ya hali ya hewa katika mkutano wa 16 wa JTSR.

Aidha, aliwasilisha pia mada ya namna teknolojia na ubunifu katika sekta ya hali ya hewa  inavyochangia usalama wa usafiri katika sekta ya Uchukuzi.

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...