Waziri wa Uchukuzi Mhe.Prof.Makame Mbarawa ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na kutoa maagizo juu ya usimamizi wa miradi ya rada za hali ya hewa, kwenye maonesho ya mkutano wa 16 wa wadau wa Sekta ya Uchukuzi kuhusu ufuatiliaji na tathimini, unaofanyika jijini Arusha tarehe 05 hadi 08 Disemba, 2023.
Thursday, December 7, 2023
MHE. PROF MAKAME MBARAWA ATEMBELEA BANDA LA TMA
Waziri wa Uchukuzi Mhe.Prof.Makame Mbarawa ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na kutoa maagizo juu ya usimamizi wa miradi ya rada za hali ya hewa, kwenye maonesho ya mkutano wa 16 wa wadau wa Sekta ya Uchukuzi kuhusu ufuatiliaji na tathimini, unaofanyika jijini Arusha tarehe 05 hadi 08 Disemba, 2023.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Mbeya; Tarehe 07 Agosti, 2023; Waziri Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya ...
-
Morogoro 07/08/2023; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema huduma za hali ya hewa...
-
Geneva, Uswisi: Tarehe 22/11/2023 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kati...
No comments:
Post a Comment