Thursday, December 7, 2023

MHE. PROF MAKAME MBARAWA ATEMBELEA BANDA LA TMA



 Waziri wa Uchukuzi Mhe.Prof.Makame Mbarawa ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na kutoa maagizo juu ya usimamizi wa miradi ya rada za hali ya hewa, kwenye maonesho ya mkutano wa 16 wa wadau wa Sekta ya Uchukuzi kuhusu ufuatiliaji na tathimini, unaofanyika jijini Arusha tarehe 05 hadi 08 Disemba, 2023.

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...