Wednesday, January 17, 2024

Chair) katika Mkutano wa 60 wa IPCC (IPCC-60)



Mojawapo ya majukumu ya TMA ni kuwakilisha Tanzania Kikanda na Kimataifa katika Masuala ya Hali ya Hewa. Pichani ni Dkt. Ladislaus Chang'a, Kaimu Mkurugenzi Mkuu (TMA) na Makamu wa Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi -IPCC (IPCC-Vice Chair) katika Mkutano wa 60 wa IPCC (IPCC-60), Instanbul, Uturuki, tarehe 16-19 Januari 2024.

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...