Thursday, November 23, 2023

WADAU WA MAZINGIRA WAPATA ELIMU YA HUDUMA MAHSUSI ZITOLEWAZO NA TMA

 




Matukio mbalimbali kwa picha kupitia jukwaa la mkutano mkuu wa tano wa mwaka wa Chama cha Wataalam wa Mazingira Tanzania (TEEA) pamoja na maonesho ya bidhaa na teknolojia za "Eco - Friendly" uliofanyika katika ukumbi wa Maktaba ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), tarehe 22 Novemba 2023.


No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...