Sunday, December 20, 2015

TMA YAKUTANA NA WADAU WA SEKTA YA USAFIRI WA ANGA NCHINI KUJADILI NAMNA YA UBORESHAJI WA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KATIKA SEKTA HIYO

Kaimu Mkurugenzi Mkuu, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Utafiti-TMA Dkt. Ladislaus Chang'a akifungua rasmi mkutano wa wadau, pembeni yake ni Mkurugenzi wa Huduma Saidizi Bw. Laurent Shauri.
Baadhi ya wadau wa sekta ya usafiri wa Anga wakifuatilia ufunguzi na mada mbalimbali.

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...