Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama (MB) katika picha ya pamoja na uongozi wa TMA, kushoto kwake ni mwenyeji wake Dkt. Agnes Kijazi na kulia kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig,
Jen. Mbazi Msuya, Mratibu wa Mradi Bw. Alfei Daniel, Mkurugenzi wa ofisi ya
Hali ya Hewa Zanzibar Bw. Mohamedi Ngwali (pembeni ya Dkt.Kijazi)
|