Tuesday, July 30, 2019

TMA YAJUMUIKA NA WADAU WENGINE WA BAHARI KUADHIMISHA WIKI YA BAHARI AFRIKA 2019

Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhe. Elias Kwandika akipata maelezo kutoka kwa mtaalamu wa hali ya hewa wakati wa maadhimisho ya siku ya bahari Afrika  yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Ubaharia (DMI), Dar es Salaam, tarehe 24 mpaka 26 Julai 2019
Naibu Waziri wa Uchukuzi-Zanzibar, Mhe. Mohamed Ahmada salum akitoa pongezi zake kwa TMA kwa kazi nzuri inayofanyika ya kutoa tahadhari za hali ya mbaya ya hewa kwa watumiaji wa bahari wakati wa maadhimisho ya siku ya bahari Afrika  yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Ubaharia (DMI), Dar es Salaam, tarehe 24 mpaka 26 Julai 2019
Wananchi mbalimbali wakipata maelezo kutoka kwa mtaalamu wa hali ya hewa wakati wa maadhimisho ya siku ya bahari Afrika  yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Ubaharia (DMI), Dar es Salaam, tarehe 24 mpaka 26 Julai 2019
Mtaalamu wa hali ya hewa  Bw. Wilberforce Kikwasi akifanya mahojiano na mwandishi wakati wa maadhimisho ya siku ya bahari Afrika  yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Ubaharia (DMI), Dar es Salaam, tarehe 24 mpaka 26 Julai 2019
Mtaalamu wa hali ya hewa  Bw. Wilberforce Kikwasi akiwasilisha mada kwenye kongamano la wadau wa sekta ya bahari lililoandaliwa wakati wa maadhimisho ya siku ya bahari Afrika  yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Ubaharia (DMI), Dar es Salaam, tarehe 24 mpaka 26 Julai 2019

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...