Tuesday, March 5, 2019

UFUNGUZI WA MAFUNZO YA HALI YA HEWA KWA AJILI YA MATUMIZI YA KILIMO

Mkurugenzi wa Utafiti na Matumizi ya taarifa za hali ya hewa wa TMA dkt. Ladislaus Chang'a (aliyesimama) akitoa neno kwenye ufunguzi huo.
Washiriki wa mafunzo kwenye picha ya pamoja na mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania dkt. Agnes Kijazi  (wa nne kutoka kushoto)

1 comment:

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...