Wednesday, March 13, 2019
TUKIO: MAADHIMISHO YA SIKU YA HALI YA HEWA DUNIANI 23MACHI, 2019
Katika kuadhimisha siku hii kwa mwaka 2019, TMA itatoa elimu kwa jamii hususan kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari, na wananchi kwa ujumla kupitia vyombo vya habari na kufundisha mashuleni na pia kuelimisha watakaotembelea vituo vya hali ya hewa.
Kauli mbiu ya maadhimisho haya kwa mwaka huu wa 2019 ni "Jua Dunia, na Hali ya Hewa ( The sun, The Earth, and the Weather)". Kauli mbiu hii inalenga kutoa elimu kwa jamii na kuongeza uelewa wa taarifa za hali ya hewa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Featured Post
DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.
Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...
-
Mbeya; Tarehe 07 Agosti, 2023; Waziri Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya ...
-
Morogoro 07/08/2023; Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Dkt. Selemani Jafo amesema huduma za hali ya hewa...
-
Geneva, Uswisi: Tarehe 22/11/2023 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kati...
No comments:
Post a Comment