Monday, August 20, 2018

UZINDUZI WA MFUMO WA TAIFA WA HUDUMA ZA HALI YA HEWA

Tarehe 21 Agosti, 2018 Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa mfumo wa Taifa wa Huduma za Hali ya Hewa, utakaofanyika katika kituo cha mikutano cha kimataifa cha Mwl. Julius Nyerere, Dar es salaam kuanzia saa saba(7) mchana.

1 comment:

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...