Sunday, August 5, 2018

MKUU WA MKOA WA SIMIYU AFURAHISHWA NA JITIHADA ZA TMA ZA KUWATEMBELEA WANAFUNZI MASHULENI MKOANI SIMIYU IKIWA NI MOJA YA MKAKATI WA KUTOA ELIMU YA HALI YA HEWA KWA JAMII KUPITIA YA MAONESHO YA NANE NANE 2018

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka akipata maelezo kuhusiana na huduma mbalimbali zinazotolewa na TMA alipotembelea banda la Mamlaka kwenye viwanja vya Nyakabidi, Simiyu Tarehe 05 Agosti 2018.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa maonesho ya Nane Nane  alipotembelea banda la TMA  kwenye viwanja vya Nyakabidi, Simiyu Tarehe 05 Agosti 2018.
Mtaalam wa hali ya hewa kutoka TMA akitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la TMA  kwenye viwanja vya Nyakabidi, Simiyu 
Mtaalam wa hali ya hewa kutoka TMA akitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la TMA  kwenye viwanja vya Nyakabidi, Simiyu 
Wananchi mbalimbali wakiendelea kufurika katika banda la TMA  kwenye viwanja vya Nyakabidi, Simiyu 

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...