Friday, August 31, 2018

MAADHIMISHO YA WIKI YA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI:TMA YASHIRIKI KIKAMILIFU KATIKA KUTOA ELIMU YA UHUSIANIO KATI YA SHUGHULI ZA ZIMAMOTO NA UOKOAJI

Meneja wa TMA kanda ya kati Bw. Waziri Waziri akifafanua jambo kwa mwananchi aliyetembelea banda la TMA kwenye maadhimisho ya Jeshi la zimamoto na uokoaji yanayofanyika katika uwanja wa Jamhuri, Dodoma



Mtaalamu wa hali ya hewa kutoka TMA kanda ya kati Bw. Zeno Chaula  akifafanua jambo kwa mwananchi aliyetembelea banda la TMA kwenye maadhimisho ya Jeshi la zimamoto na uokoaji yanayofanyika katika uwanja wa Jamhuri, Dodoma



Wanafunzi wakipata Elimu ya umuhimu wa tarifa za hali ya hewa kwa sekta mbalimbali walipotembelea banda la TMA kwenye maadhimisho ya Jeshi la zimamoto na uokoaji yanayofanyika katika uwanja wa Jamhuri, Dodoma



Matukio mbalimbali katika picha kwenye maadhimisho ya Jeshi la zimamoto na uokoaji yanayofanyika katika uwanja wa Jamhuri, Dodoma

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...