Monday, August 6, 2018

DKT.TIZEBA ASISITIZA USHIRIKISHWAJI WA TMA KWENYE MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO YA KILIMO

Waziri wa Kilimo Mhe. Dkt. Charles Tizeba akipata ufafanuzi kutoka kwa Meneja wa TMA Kanda ya Mashariki Bw. Nassoro Mnanike wakati alipotembelea banda la TMA kwenye maonesho ya nane nane 2018, Morogoro
Waziri wa Kilimo Mhe. Dkt. Charles Tizeba akisisitiza umuhimu wa kutumia miradi ya maendeleo kuongeza ufanisi wa kazi za Mamlaka wakati alipotembelea banda la TMA kwenye maonesho ya nane nane 2018, Morogoro
Waziri wa Kilimo Mhe. Dkt. Charles Tizeba akipata ufafanuzi kutoka kwa Meneja wa TMA Kanda ya Mashariki Bw. Nassoro Mnanike na mtaalam wa hali ya hewa Dkt. Habiba Mtongori wakati alipotembelea banda la TMA kwenye maonesho ya nane nane 2018, Morogoro

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...