Thursday, June 7, 2018

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA YATEMBELEWA NA WANAFUNZI KUTOKA MAREKANI KWA MWALIKO WA UNDP.

 

Wanafunzi kutoka Marekani kwa mwaliko wa UNDP wametembelea ofisi za TMA kujionea shughuli mbalimbali za TMA na utekelezaji wa mradi wa kuboresha huduma za hali ya hewa unaosimamiwa na UNDP.
Picha hii imechukuliwa katika studio ya TMA zinazotumika kurekodi utabiri wa hali ya hewa wa kila siku.

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...