Tuesday, February 28, 2017

TMA YAANDAA WARSHA KWA WANAHABARI KUHUSU MSIKU WA MVUA ZA MASIKA 2017, KIBAHA

Mkurugenzi Mkuu Dkt. Agnes Kijazi akifafanua jambo kwa wanahabari katika warsha ya siku moja iliyofanyika Kibaha kuhusu msimu wa mvua za MASIKA 2017
Baadhi ya wanahabari wakisikiliza kwa makini
Dkt. Hamza Kabelwa, Mkurugenzi wa huduma za utabiri akichangia jambo
Wanahabari katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dkt, Agnes Kijazi


Friday, February 17, 2017

TMA YASHIRIKI MAONESHO YA KONGAMANO LA KISAYANSI LA BONDE LA ZIWA VICTORIA TAREHE 15-16 FEBRUARI 2017-MWANZA

Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi) Dkt. Leonard M. Chamuliho katika picha ya pamoja na washiriki wa kongamano kutoka taasis zilizo chini ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Uchukuzi), katika hoteli ya Malaika, Mwanza.

Thursday, February 16, 2017

NATIONAL FRAMEWORK FOR CLIMATE SERVICES WORKSHOP HELD ON 10TH FEBRUARY, 2017

Tanzania Meteorological Agency (TMA) organized a stakeholder’s workshop on the National Framework for Climate Services (NFCS) which was held on 10th February, 2017. The workshop was organized as part of implementation of the Global Framework for Climate Services (GFCS) programme in Tanzania known as “Climate Services Adaptation Programme in Africa on Building Resilience in Disaster Risk Management, Food Security, Nutrition and Health”.  
The main objective of the workshop was to share the progress in the preparation of the NFCS to stakeholders and solicit more inputs and comments for its improvement. It was attended by 45 participants from government, non-governmental organizations, Academia and UN Agencies, of which 30 were males and 15 were females. Out of the 60 participants, 17 were youth and 28 were senior experts.  
The workshop was officially opened at 9.30 AM by the Guest of Honour, the Director General of TMA and Permanent Representative with WMO, Dr. Agnes Kijazi.

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...