Wednesday, August 31, 2016

CHUO CHA HALI YA HEWA KIGOMA CHA SHEREHEKEA MAHAFALI YA NNE YA KOZI YA 'AERONAUTICAL METEOROLOGY' YALIYOFANYIKA UBUNGO PLAZA, TMA TAREHE 26 AGOSTI 2016

Mgeni rasmi na Mkurugenzi Mkuu TMA akigawa cheti kwa mmoja wa wahitimu
Mgeni rasmi na Mkurugenzi Mkuu TMA akigawa cheti na zawadi kwa mhitimu aliyefanya vizuri zaidi katika kozi hiyo
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Hali ya Hewa Kigoma Bw. Peter Mlonganile akitoa hotuba yake katika mahafali
Kiongozi wa wahitimu akisoma risala kwa mgeni rasmi kwa niaba ya wahitimu wengine

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...