Wednesday, July 27, 2016

DKT. KIJAZI AHAMASISHA UMUHIMU WA REDIO ZA KIJAMII KUWA MABALAOZI WA HALI YA HEWA NCHINI

Mkurugenzi Mkuu-TMA Dkt. Agnes Kijazi katika picha ya pamoja na washiriki wa warsha ya uhamasishaji wa kuongeza uelewa na usambazaji wa taarifa zitolewazo na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa wadau wake, Tarehe 26 Julai 2016, TMA Makao Makuu, Dar es Salaam.
Mtaalam wa hali ya hewa Bw. W. Kikwasi akiwasilisha mada kwa washiriki wa warsha ya uhamasishaji wa kuongeza uelewa na usambazaji wa taarifa zitolewazo na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa wadau wake, Tarehe 26 Julai 2016, TMA Makao Makuu, Dar es Salaam.
Washiriki wa warsha inayohusu uhamasishaji wa kuongeza uelewa na usambazaji wa taarifa zitolewazo na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa wadau wake wakisikiliza mada, Tarehe 26 Julai 2016, TMA Makao Makuu, Dar es Salaam.
Meza kuu katika ufunguzi wa warsha ya uhamasishaji wa kuongeza uelewa na usambazaji wa taarifa zitolewazo na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa wadau wake, Tarehe 26 Julai 2016, TMA Makao Makuu, Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mkuu-TMA Dkt. Agnes Kijazi akiongea na washiriki wa warsha ya uhamasishaji wa kuongeza uelewa na usambazaji wa taarifa zitolewazo na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa wadau wake, Tarehe 26 Julai 2016, TMA Makao Makuu, Dar es Salaam.
Washiriki wa warsha inayohusu uhamasishaji wa kuongeza uelewa na usambazaji wa taarifa zitolewazo na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania kwa wadau wake wafanya majadiliano katika makundi,Tarehe 26 Julai 2016, TMA Makao Makuu, Dar es Salaam.

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...