Wednesday, February 17, 2016

ZIARA YA WAZIRI WA UJENZI,UCHUKUZI NA MAWASILIANO KATIKA KITUO CHA HALI YA HEWA SHINYANGA





Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Prof. Makame Mbarawa akipata maelezo ya upimaji wa taarifa (takwimu) za hali ya hewa katika Kituo cha Hali ya Hewa kilichopo katika uwanja wa ndege wa Shinyanga.Anayetoa maelezo ni Meneja wa Kituo hicho Bw. Khamis Omary. Mhe. Waziri amekuwa akiendelea na ziara ya kukagua ufanisi wa kazi katika taasis zilizopo chini ya Wizara yake.

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...