Thursday, November 3, 2016

MWELEKEO WA MSIMU WA MVUA ZA VULI KWA KIPINDI CHA NOVEMBA 2016



Dondoo muhimu za mwezi Novemba, 2016

Taarifa hii inatoa uchambuzi wa mifumo ya hali ya hewa kwa mwezi Oktoba, 2016 na mwelekeo wa viashiria vya mifumo ya hali ya hewa pamoja na mvua katika kipindi cha mwezi Novemba, 2016.

  1. Mwelekeo wa mvua za Vuli, 2016 kwa kipindi cha mwezi Novemba, 2016:
Hali ya upungufu wa mvua inatarajiwa katika maeneo mengi ya nchi katika kipindi cha mwezi Novemba, 2016.

  1. Maeneo ya Nyanda za juu Kaskazini mashariki pamoja  na maeneo ya mkoa wa Tabora mvua zinatarajiwa kuanza katika wiki ya tatu ya mwezi Novemba,2016.

  1. Mvua za wastani hadi chini ya wastani zinatarajiwa katika maeneo ya Ukanda wa Ziwa Victoria, na  mvua za chini ya wastani katika maeneo mengine ya nchi. 
    Mkurugenzi Mkuu akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kuhusu mwelekeo wa mvua za vuli mwezi Novemba 2016

Tuesday, October 11, 2016

CLIMATE ADAPTATION RISK AND OPPORTUNIES INTERNAL STAKEHOLDERS' WORKSHOP AT UBUNGO PLAZA, 5TH TO 6TH OCTOBER 2016

An official opening from acting director general Dr. Pascal Waniha, he emphasized on making the best products from user requirement gathered from agriculture, energy and water sectors
Mr. Tim Donovan from UK Met Office gave an overview of the goal and objective of the project workshop
Mr. Tim Donovan emphasizing on the best practice to ensure customers expectation are met through continual improvement as it has been stated on TMA quality policy
Workshop participants from TMA and UK Met Offfice
Group discussion



TMA and UK Met Office organized an internal stakeholders' workshop under Climate Adaptation Risk and Opportunities in Tanzania project, to share some gather user requirements for better service improvement. Sectors discussed were agriculture, water and energy to start with.

The workshop involved internal experts from agromet, hydromet, climate, forecast, modelling, marketing sections and zonal and regional officers.

Goal is to increase climate resilience and support socio-economic growth in Tanzania
Objectives is TMA to support stakeholders to make climate smart decisions based on relevant, reliable and accessible climate information.


TANZANIA HOST MESA WORKSHOP 3RD TO 7TH OCTOBER 2016 AT ROMBO GREEN VIEW, DSM

MESA workshop participants in a group photo at Rombo Green View, Dar es Salaam.
Representative of TMA director general Dr. Pascal Waniha presenting a speech prepared by Dr. Agnes Kijazi during an official opening of MESA workshop

Friday, September 23, 2016

RC KIGOMA CALLS FOR EFFICIENT USE OF WEATHER AND CLIMATE INFORMATION TO LAKE TANGANYIKA USERS.



Kigoma Regional Commissioner (RC), Brigedia General Rtr.  Emmanuel Maganga, officiated the opening of Marine Stakeholders’ Sensitization workshop at Mwaka Hill Hotel on 15th September 2016. He was once welcomed by Col. Medo Msuya one of Tanzania Meterological Agency Ministrial Advisory Board who attended the workshop. They both emphasized on the use of weather and climate products for sustainable development.

‘It’s my belief that the purpose of conducting this workshop is to assess the stakeholder’s knowledge and requirement (understanding user needs) in the context of climate variability and its implication on disaster risk reduction and climate change adaptation for Lake Tanganyika users, hence make the best out of it’ said Brig. Gen. Maganga.

On behalf of TMA Director General, Dr. Hamza Kabelwa read the speech prepared by Dr. Kijazi by appreciating WMO initiatives through Global Framework for Climate Services (GFCS) by creating awareness on marine products to Lake Tanganyika users, thus reduce weather and climate impact risk. 

The workshop consists of various stakeholders from Navy, Surface and Marine Transport Regulatory Authority (SUMATRA), captains/sailors, local transporters, fishers, Mahale National Park, Kigoma Regional Disaster Management committee member, Regional and District officers and Police (safety).

RELEASED BY: MONICA MUTONI, COMMUNICATION OFFICER, TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY

Thursday, September 22, 2016

MKUU WA MKOA WA KIGOMA AFUNGUZA RASMI WARSHA INAYOHUSU UBORESHAJI NA UANISHAJI WA MAHITAJI YA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KATIKA MAENEO YA ZIWA TANGANYIKA KWA SEKTA YA WAVUVI NA WASAFIRISHAJI, MWAKA HILL HOTEL, KIGOMA, TAREHE 15 SEPTEMBA 2016


Picha na. 1: Mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mhe. Brigedia jenerali Mstaafu  Emmanuel Maganga akifungua rasmi warsha hiyo kwa kusisitiza umuhimu wa matumizi ya taarifa za hali ya hewa kwa wananchi wa mkoa wa Kigoma hususani  Ziwa Tanganyika wakati wa ufunguzi rasmi.

Picha na4: Mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Mhe. Brigedia jenerali Mstaafu  Emmanuel Maganga katika picha ya pamoja na washiriki wa warsha.

Warsha hii ya siku mbili  ilijumuisha wadau mbalimbali kutoka ofisi ya Mkuu wa Mkoa; Uvuvi, Maafa na Usafirishaji, Wizara ya Maji; Bonde la Ziwa Tanganyika, SUMATRA, Bandari, Jeshi la Maji, Jeshi la Polisi, Kambi za wavuvi, Kambi za wasafirishaji (Beach Management Units), wanahabari na manahodha.

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...