Wednesday, October 15, 2014

MKURUGENZI MKUU WA TMA AFANYA UKAGUZI WA OFISI YA HUDUMA ZA HALI YA HEWA ZIWANI KWA UKANDA ZIWA VICTORIA ILIYOPO KATIKA ENEO LA BANDARI YA MWANZA

Mkurugenzi Mkuu wa TMA Dkt. Agnes Kijazi akifanya ukaguzi wa maendeleo ya ofisi ya huduma za hali ya hewa Ziwa Victoria iliyopo katika Bandari ya Mwanza
Mkurugenzi Mkuu wa TMA akipata maelezo mafupi kuhusiana na maendeleo ya ukamilishaji wa ofisi ya huduma za hali ya hewa Ziwa Victoria iliyopo katika Bandari ya Mwanza kutoka kwa meneja wa Kanda hiyo Bwana Michael Likunama (mwenye fulana nyeusi), pembeni ni Mkurugenzi wa Huduma za Utabiri Dkt. Hamza Kablewa
Mkurugenzi Mkuu wa TMA sambamba na baadhi ya wajumbe katika msafara huo. Wajumbe walioambatana nae ni pamoja na mameneja wa Kanda ya Ziwa, Mwanza, Musoma na Bukoba.


1 comment:

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...