Wednesday, July 16, 2014

UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO. TAREHE 16/07/2014.

 




[Mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:

Hali ya mawingu kiasi, Mvua nyepesi katika maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza]:
Hali ya mawingu kiasi, ngurumo katika maeneo machache na vipindi vya jua.

[Mikoa ya Kigoma, Tabora, Rukwa, Shinyanga, Geita na Simiyu Dodoma  na Singida]:
[Mikoa ya Morogoro, Mtwara, Lindi na Ruvuma]:
[Mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe na Katavi]:
[Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara]:

Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.

                                                      
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto
Kiwango cha chini cha joto
Mawio (Saa)
Machweo (Saa)
ARUSHA
22°C
14°C
12:42
12:36
D'SALAAM
31°C
19°C
12:37
12:19
DODOMA
25°C
13°C
12:49
12:35
KIGOMA           
30°C
18°C
01:11
01:01
MBEYA
20°C
10°C
01:03
12:39
MWANZA
29°C
18°C
12:55
12:51
TABORA
29°C
13°C
12:59
12:49
TANGA
28°C
19°C
12:34
12:24
ZANZIBAR
28°C
23°C
12:37
12:19

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa kutoka Kusini-Mashariki kwa ukanda
                               wa Pwani ya Kusini na Kusini kwa ukanda wa pwani ya Kaskazini.

Hali  ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa kiasi.

Matazamio kwa siku ya Ijumaa 18/07/2014: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 16/07/2014.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.




No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...