Thursday, July 3, 2014

FAHAMU KITUO CHA HALI YA HEWA KILICHOPO KARIBU YAKO

 
Moja ya jukumu la Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini ni pamoja na kuanzisha na kusimamia
mtandao ya vituo vya hali ya hewa hapa nchini ili kupata taarifa sahihi za hali ya hewa kwa ajili
ya kutoa huduma za hali ya hewa katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii hasa katika
sekta za kilimo, miundombinu, maji, nishati, mazingira, utalii, n.k.

No comments:

Post a Comment

Featured Post

DKT. KIJAZI: KIWANGO CHA USAHIHI WA UTABIRI WA MSIMU WA VULI 2019 KIWE CHA JUU ZAIDI.

Mkurugenzi mkuu wa TMA na Makamu wa Tatu wa Rais wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Dkt. Agnes Kijazi (katikati mwenye suti nyeusi) waka...